Izzo B na Abela wathibitisha hili




Msanii Izzo Bizness anayeunda kundi la ‘The Amazing’ na  Abela, ametoa wimbo mpya uitwao “Tumeoana”, hii ni nyimbo ya pili kwa kundi hilo kuzugumzia mapenzi.

Kupitia nyimbo ya “Tumeoana” huwenda wamekiri kuwa ni wapenzi. Izzo na Abela mara kadhaa wamehisiwa ni wapenzi lakini wao wamekuwa wakikanusha stori hizo wakisema wao ni washikaji tu, na sio wapenzi.
Audio ya nyimbo ya “Tumeona” imetengenezwa na Abba , huku video ikifanywa na Director Nick Dizzo wa Focus Film.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment