Msanii Chibwa wa Tanchy anayefanya vizuri na wimbo ‘Unamtambia Nani’, amefunguka na kusema si vizuri kwa wasanii kuwa na mtazamo wa jumla kuhusu jambo fulani kama mavazi na kuchukua mtazamo huo kama ni sehemu ya wasanii wote wakati kila mmoja ana mtindo wake maisha katika uvaaji.
Chibwa
“Lakini tabia ya mtu mwingine na watu wengine wewe hutakiwi kuijudge, kwa hiyo wewe huwezi kuwa judge wa watu wengine wote kwa kusema wewe ni mkali wa kitu fulani wakati watu walio chimbo wakikuangalia wanaona mbona mdogo wetu kama unataka kuparamia miti mikubwa,” asema hayo katika kipindi cha Daladala Beats cha Magic FM.
0 maoni:
Post a Comment