Uchunguzi wa RFI: Ni michuano ya Kombe lipi la Mataifa ya Afrika unayohitaji?


mediaRFI / Pierre René-Worms
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) litajadili hatma ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), kuanzia Julai 18 hadi Julai 21, 2017 nchini Morocco. Michuano ya AFCON inayopigwa kila baada ya miaka miwili, inaweza kuchezwa kila baada ya miaka minne? Michuano hii inaweza kupigwa mnamo mwezi Juni na Julai badala ya mwezi Januari na Februari? Jibu ukituma ujumbe wako kwa uchunguzi RFI kuanzia Juni 22 hadi Julai 17 ambapo matokeo yatatangazwa Julai 18.
Chargement en cours...
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment