![]() |
www.jichopembuzi@gmail.com |
![]() |
wafugaji wa songwe. |
Mgogoro huu ni wa mda mrefu katika bonde hilo la Songwe kwa kile kinacho sadikika kuwa wafugaji ni wakorofi maana waho wanacho kifanya mifugo yao wanaifungulia usiku na kuipeleka mashambani,lakini mwenye shamba hilo alivyo ona ivyo aliamua kwenda usiku kulinda shamba lake na baada ya kupingwa na wafugaji hao na umauti uka mkuta papo hapo.
0 maoni:
Post a Comment