![]() |
mohamed salah www.jichopembuzi@gmail.com |
bao la pili lilifungwa dakika 12 baada ya mapumziko na mfungaji bora wa michuano ya kufuzu kombe la dunia kwa kanda ya Afrika Mohamed salah.
Iblrahim salah aliitimisha ushindi wa misri kwa kufunga bao la 3
katika mchezo mwingine Malawi imeichapa Rwanda 1-0 katika mchezo uliochezwa mjini kigali.
0 maoni:
Post a Comment