hii ni kutokana na mtindo ambao unaonekana na wengi nchini humo kwamba mwanamke mwenye makalio makubwa ndiye anaye endeza zaidi
![]() |
Daktari aliye piga picha moja kati ya makalio yalio athiliwa na silicon |
Miaka 18-50
Hata hivyo wanawake wengi wanaoendelea kjiongezea makalio takribani asilimia 30 ya wanawake walio
kati ya umri wa miaka 18 na 50 wanatumia silicon kuongeza ukubwa wa makalio yao.
![]() |
madatkari wakifanya oparesheni juu ya mwanamke aliye asiliwa na silinco |
Madaktari wanasema kuwa kemikali hii husambaa mwilini na pia inaweza kuathili kinga ya mwili.



0 maoni:
Post a Comment