Neymar alifunga mara mbili katika mechi aliyekuwa mchezaji bora wakati Brazil ilipo ishinda nguvu Cameroon na kufuzu katika raundi ya muondoano.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 alifunga mabao 2 katika kipindi cha kwanza baada ya kusawazisha lake joel matip huku fred na Fernandinho wakihakikishia timu hiyo nafasi katika mkondo wa pili wa timu16 bora kama washindi wa kundi A.
![]() |
| Brazil ilitamatisha mechi za kundi kwa kishindo iliilaza Cameroon 4-1 |


0 maoni:
Post a Comment