Kiwanja Kipya Kariakoo Chafanya Majaribio yas Pemba Zake leo na kuvurika watoto wengi kupanda pembea hizo.

 Wananchi wakiwa na watoto wao wakiingia katika kiwanja cha watoto kariakoo wakati wa majaribio ya mapembea yalioko katika kiwanja hicho baada ya kufungwa kwake karibu miezi mitatu kupita ili kutowa huduma kwa watoto wakati wa kusherehekea sikukuu ya Eid Alhajj inayotarajiwa kuadhimishwa mwishoni mwa wiki ijayo kuungana na Waumini wa dini ya kiislam baada ya kumalizika kwa Hijja inayofanyika nchi Saud arabia.
Meneja Mipango, Uwekezaji na Utafiti Ndg, Khalifa Muumin, akiwa katika moja ya pembea katika kiwanja hicho kuangalia utowaji wa huduma kwa watoto waliofika katika kiwanja hicho leo jioni wakati wa majaribio ya pembea zake kwa ajili ya maandalizi ya sikukuu ya eid alhajj., kuona kama kuna matatizo katika pembea hizo. 



Pembea ya gari ziendazo kasi 
                                                   Pembea ya kikapu hiyooo ..........
Pembea ya vibesi ikitowa burudani kwa watoto waliofika kiwanjani hapo wakati wa majaribio yake leo jioni
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment