Kamanda Sirro: Tulipata Taarifa Huenda Masogange ni Kati ya Wauzaji au Wasafirishaji wa Unga (Video)

Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro amedai kuwa sababu ya kumshika mrembo maarufu wa video za muziki nchini, Agnes ‘Masogange’ Gerald ni kupata taarifa kuwa huenda akawa mmoja wa wauzaji, watumiaji ama wasafirishaji wa dawa za kulevya.

“Kwahiyo tumemhoji, tumemsachi na tumempeleka kwa mkemia wa serikali,” Sirro amewaambia waandishi wa habari Alhamis hii.

“Kwahiyo tunasubiri tupate majibu ili tuweze kuchukua hatua. Hatua yenye inaweza kuwa ni kumpeleka mahakamani kwa kosa lake ambalo litakuwa limebainika.. tumeona amekuwa na tabia ambazo sio nzuri au itakavyokuwa vinginevyo kutokana na hatua ambayo kutokana na ushahidi tutakaokuwa tumeupata,” ameongeza.
Masogange alikamatwa February 14, 2017 na kufanya idadi ya watu waliokamatwa hadi sasa kufikia 349.
JAMAA ABUNI NDEGE YAFANIKIWA KURUKA TAZAMA HAPA CHINI!!!

from Blogger http://ift.tt/2kZpVJX
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment