Swansea kumkosa Nathan Dyer msimu mzima

Mchezaji wa klabu ya Swansea Nathan Dyer atakua nje ya uwanja mpaka mwisho wa msimu wa ligi kuu nchini Uingereza.
Winga ambaye ana umri wa miaka 29, aliumia mshipa wa kifundo cha mguu katika mchezo wa ligi dhidi ya Leicester City siku ya jumapili .
Nyota huyu raia wa Uingereza amecheza michezo mitano toka Paul Clement ateuliwe kuwa meneja wa Swansea mwezi uliopita .
Swansea pia wataendelea kumkosa winga wao mwingine Jefferson Montero anyesumbuliwa na maumivu ya nyama za paja.

from Blogger http://ift.tt/2l3aoHl
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment