VIDEO: TAZAMA ALICHOZUNGUMZA KAMISHNA MKUU WA MAMLAKA YA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA

Jana Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alimkabidhi majina 97 ya watuhumiwa wa biashara ya dawa za kulevya, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya, Rogers Sianga.
Kamishna huyo alisema kuwa katika vita hii hawataangalia mtu machono na kuwa vita itaenea nchi nzima. Aidha alisisitiza kuwa hakuna jiwe abapo litasalia halijageuzwa. Hapa chini ni video ya kiongozi huyo akizungumza.

from Blogger http://ift.tt/2lPuOCQ
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment