Watu na akili zao… walimtuma huyu Njiwa apeleke simu Gerezani

Brazil inatajwa kuwa nchi ya nne duniani kwa kuwa na idadi kubwa ya Wafungwa gerezani ambapo ina Wafungwa 600,000 kwenye magereza yake na kama unakumbuka hivi karibuni kumekuwa na matukio ya kihalifu ndani ya Magereza na yamesababisha vifo vya wafungwa 140.
Sasa kingine kilichoripotiwa ni kutokea kwenye gereza la Franco da Rocha ambapo Njiwa amekamatwa na Askari akipeleka simu ya mkononi kwa mfungwa ambapo bado haijafahamika aliyekuwa akimtumia Ndege huyo kupeleka simu.
Kuna maswali mengi ya kujiuliza lakini hayajajibiwa…. Njiwa huyo alielekezwa vipi? akili gani imetumika kumuongoza? alikua anatumia njia gani kuikabidhi simu?
CHEKA  KIDOGO NA HUYU JAMA ASIEJUA KUCHEZA KWAITO

from Blogger http://ift.tt/2m2oZ5n
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment