Women’s Day: Wema Sepetu aungana na mbunge Devota Minja kupanda miti Morogoro





Kamanda mpya wa Chadema Wema Sepetu na mbunge wa viti maalum Morogoro Devota Minja amesherekea siku ya wanawake duniani kwa kupanda miti mkoani Morogoro.

Muigizaji huyo amedai upandaji wa miti utakuja kuwa tija kwa jamii hasa hasa kupunguza kero kubwa ya maji inayotukabili wanawake.
“Leo ni siku ya wanawake Duniani, na kama mwanamke nikaonelea nijiunge na wanawake wenzangu wa Mkoa wa Morogoro siku ya leo katika upandaji wa miti ambao utakuja kuwa tija kwetu na kupunguza kero kubwa inayotukabili ya Maji,” aliandika Wema Instagram.

Aliongeza, “Wote tunajua kuwa mwanamke ndo anaekerwa zaidi katika upatikanaji wa maji… Labda haitotusaidia leo wala kesho, lakini itakuja kusaidia vizazi vyetu hapo baadae…. Morogoro ni eneo linalosadikika kuwa Chanzo cha Maji hata yale tunayotumia Mkoani kwetu (Daressalaam)… Ninajiskia faraja kuwa kutakuwa na helping hand yangu somewhere when it comes to Water supply in my society… Mazingira yetu hayana Itikadi wala Vyama, Yanagusa kila mtu… I feel honored to be part of this activity… Tumetoka Kata ya Kilakala and now tunaelekea kwenye Chanzo kingine kinachoitwa Mambogo…. For more pictures download my app only on Playstore…. #WemaApp #CallMeKamanda,”
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment