during
the Premier League match between West Ham United and Tottenham Hotspur
at the London Stadium on May 5, 2017 in Stratford, England.
Alie kuwa Mwiba mchungu katika mchezo huo wa Spurs dhidi ya West ham ni mchezaji Manuel Lanzini alietokomeza ndoto za spurs kutwaa ubingwa msimu huu mara baada ya kupachika bao lake dakika ya 65 lililotosha kabisa kuilaza klabu hiyo.
Klabu ya Chelsea, mpaka sasa wanaongoza katika msimamo wa ligi kuu nchini Uingereza kwa kuwa na alama zao 81 katika michezo 34 iliyo cheza, ilhali klabu ya Spurs ikishika nafasi ya pili wakiwa wamejikusanyia alama 77 kibindoni huku wakiwa wameshuka dimbani mara 35.
BY HAMZA FUMO
0 maoni:
Post a Comment