MARA: Ndugu wa waliofukiwa Mgodini Butiama wameanza kukata tamaa

Ni siku ya nne leo tangu kutokea tukio la watu kufukiwa ndani ya Mgodi Buhemba wilaya ya Butiama Mara ambapo juhudi bado zinaendelea za kuwaokoa Watu wanne walioko chini ya ardhi ambao haijulikani kama bado wapo hai.
Ndugu wa Waliofukiwa wameanza kupoteza matumaini ya kuwapata ndugu zao wakiwa hai, AyoTV imezungumza na baadhi ya ndugu ambao wapo eneo la tukio kwa siku ya nne sasa wakiwangoja ndugu zao kuokolewa….
 unaweza kutazama kwenye hii video hapa chini

from Blogger http://ift.tt/2kFEdfl
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment